0
Mh samweli sitta ambeye alikuwa mwenyekiti wa kamati ya uaandaji wa rasimu katiba,amekua na
wasiwasi mkubwa kama Rais kikwete ataikataa katiba yake,Zahili kuwa imepitishwa ikiwa na
upendeleo wa sehemu moja tu,kutokana na kukosekana kwa changamoto mahususi,kachukulia suala,
hilo lili kuwa sawa na watoto wadogo wakikaa sehemu huwa wanaitikia ndio hata penye neno ha-
pana,leo wanatarajia kukabizi huku roho ya ikisonona sana SAMWELI SITTA

sitta

Post a Comment

 
Top